...

...

Thursday, November 5, 2009

AAASENTI.....!!!

utaarabu hauuzwi dukani ni wewe mwenyewe tu,hata wanyama nao ni wastaarabu.




Sasa hebu cheki mi nawashangaa wale jamaa zangu wanajisaidia kwenye masinki ya kunawia mikono pale wanja la mpira neshno sijui inakuwaje . Inamaana wanshindwa hat na hawa jmaa pichani hapa. Narudia tena ndiomaana ustaarabu hauuzwi ungekuwa unauzwa sijui ingekuwaje.
Na ndio maana huku ughaibuni wenzetu wanawathamini sawa hawa viumbe.
.....................................................................................

No comments:

Post a Comment