...

...

Monday, October 5, 2009

BABY SHOWER HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA....



                            C.E.O wa kansas kwa mbali pale namuona nae alijumuika kuyarudi magoma



                              Yaani ilikuwa jaasho mtindommoja  maana kidekure we mamam kidekure....!!!!!Watu     walikuwa   hawatambuani



                                hapo ilikuwa  ni mgongo mgongo tu kama huna shauri yako....watu watakucheka



mama lao...Da nainihiii akiwaonyesha vijana wa   kansas sebene likoje





Yaani ilikuwa ule mtindo wa mbele arudi nyuma na wanyuma aende mbele basi hapo weeeee.....!!!





Kumbuka hayo yalikuwa yakisababishw na DJ wako toka kansas city almaaaruf  "DJ BOSTON"

kwenye moja na mbili ebwana aliwarusha vijana mpaka chee..!!!1





Kila mtu alishindwa kujizuia maan Dj Boston hakufanay uchoyo alirusha ngoma za rika zote ukianzia hip hop,bongofleva halkadhalika old skul maana anko nanihii Prospa jana alikumbuka sana enzi enzi za ujana wake....kwa hakika ilifana sanaa!!!!!!

No comments:

Post a Comment