Usiombe ikukute hiyo uko katikati hapo halafu ndio unawahi kazini lakini uzuri wa huku ughaibuni huwa haikawii mara moja kitu na na box....tukirudi kule home nakumbuka kipindi fulani unakaa kwenye foleni masaa matatu wakati mwengine inakuwa uzembe wa madereva wa daladala.
No comments:
Post a Comment