...

...

Friday, September 25, 2009

KARIAKOO YETU YA LEO...!!!

Kariakoo ya leo si kama ile ya zamani msongamano wa magari kidogo umepungua
Ingawa kuna kipindi usafiri wa jumuia inabidi uvute subira.....mpaka kuja kupata daladala


Baaada ya vibasi vidogo vidgo maarufu kama Vipanya kupigwa marufuku kuja mjini hivi ndivyo hali ilivyo sasa maeneo ya kariakoo mtaa wa uhuru .

No comments:

Post a Comment