...

...

Monday, October 12, 2009

MAANDALIZI YA TANZANIA MAGIC OF FASHION PALE TOLEDO-OHIO MAREKANI



Mie nikiwa nimweka pozi la pamoja na Baaadhi ya wasanii hao mara baada ya kuwasili hapo TOLEDO

ili nijionee mwenyewe itakavyokuwa na kaa nilivyowahidi wadau kuwaleteeni matukio kemkem ya show hiyo.







Wabunifu wa mavazi na sanaa za kuchora kutoka Tanzania waliokuja pale TOLEDO OHIO wakiwa kwenye Mkutano wa maandalizi ya ile SHOW kubwa inayojulikan kama MAGIC OF TANZANIA SHOW ambao italindima katika baadhi ya vitongoji vya ohio ikianzia TOLEDO,COLUMBUS,CLEVERLAND na kumalizia pale SYLVANIA.









Mbunifu wa mavazi anaekuja kwa kasi ya ajabu FATMA AMOUR toka Tanzania akiwa nae kwenye matayarisho kwa FASHION SHOW ambao itahusisha mavazi yake 50 siku hiyo ya show  akiwa na mmojwapo wa wenyeji wao wa hapo TOLEDO.Bi JOAN  ilimradi mambo yaende sawa.





                   Na mie nami wa mabli kule nilitinga ndani ya studio hapo kujionea maaandalizi yanavyoendelea





Mmoja wa wasanii hao wa uchoraji hao akiwa studio kumalizia picha yake hiyo ni katika kuhakikisha picha zote zinakmalika mapaka siku ya show yenyewe



                   Wengine nao wakishugulika na kufrem paints zao ilimradi ni busy mtindo mmoja



wakiwa chini usimamizi wa mtayarisho ya kudesign na Bi JOAN EDWARD amabe yeye ni msaidizi mmojwapo wa show hiyo kubwa inayotaraji kulindima katika baaadhi ya vitongoji vya OHIO.

No comments:

Post a Comment