...

...

Friday, October 16, 2009

FATMA AMOUR ANG'ARA KATIKA MAGIC OF TANZANIA PALE TOLEDO -OHIO






Director muandamizi wa show hiyo Bw. Martin Naggy akiwatangazia rasmi kuanza kwa show ya mavazi ya Mbunifu fatma amour




Nae pia Msaidizi wa muadamizi bi Christina akitoa risala yake kabla ya kuanza show hiyo ya mavazitoka kwa mbunifu mahiri kabisa Bi FATMA AMOUR




Wageni wakimsikiliza kwa makini kabisa



------------------------------------------------------



HAYO TU NI BAAADHI YA MAVAZI AMBAYO YALIONYESHWA NA MBUNIFU HUYO WA MAVAZI FATMA AMOUR AMA NWEZA KUMWITA FAMOUR DESIGNER.




















Mbunifu Fatma katikati hapo akiwa na mamodo amabo walivaa nguo zake siku hiyo.


Dada huyu tokea hapohapo Bowling green aliperform wimbo wake maalumu kwa show hio ulioitwa magic of Tanzania

naaahidi nitakuleteeni video yake ili muone nini alichokiimiba katika wimbo huo.



nimekula konoz na mamodo wa liovaa nguo za mbunifu Fatma amour



nikiwa nimekula pozi na Designer mwenyewe Fatma amour







Hiyo ilikuwa siku amabo nilikuwa narudi zangu kansas city nilipita hao darasani kwao lile group la madesigner nilienda kuaaga kabla ya kuanza safari za ya kurudi kansas.





hapo nikiwa na group la wachoraji nilipokwenda kuwaaga studioni kwao.




Safari ya kurudi kansas city kwa kuendelea na ujenzi wa Taifa letu hapo ndipo ilipoanza.



......................................................................................................................

No comments:

Post a Comment