...

...

Sunday, July 4, 2010

Hivi wenzetu wahindi hawana timu?







..Ni swali ambalo limenijia kutokana na sekeseke hili la kombe la dunia. Wadau naomba msaada kutoka kwenu kama kuna anayejua kuhusu soka huko India. Zaidi ya hayo hongera Ghana kwa kufika hapo ilipofika
Kwa hisani ya:JamiiForums

No comments:

Post a Comment