
Jamaa anaulizia kama kuna sehemu mdau umepata kuskia kuna mashindano ya sura nzuri anaomba aaalikwe na bilashaka atashiriki bila ya gharama yoyote ile!
Alinidokeza kuwa yeye ndio handsome katika familia yao akifuatiwa na na mdogo wake wa kike .
Blogu yenu inawahidi itakuletea picha ya dada yake mara tu itakapopata.
Usicheze mbali na blogu yako tutajitahidi hata kwa gharama yoyote kuhakikisha tunaipata picha picha ya huyo dada yake anaemzungumzia kuwa anamfuatia kwa uzuri.
No comments:
Post a Comment