Watanzania wanaosumbuka ktk anga za sarakasi(Acrobatic) pale Uingereza. Hawakuishia hapo tu. Kwani ni mojawapo la kundi lililofanikiwa kuingia semi-final za ile kitu inayojulikana kama BRITAIN GOT TALENT!Wanakwenda kwa jina la the Afrikan Warriors. ukitaka kujua zaidi nini wanachofanya kwa kubonyeza hapa www.afrikanwarriors.com
No comments:
Post a Comment